Thu, 12 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiwango cha Kibu Denis akiwa mazoezini kimemkosha kocha Oliviera na kuamua kumchagua kuwa mchezaji bora wa mazoezi ya jana na hata kumpa zawadi.
Kocha amesema huo ni utaratibu wake wa kutoa zawadi kwa mchezaji anayemvutia. Hapa anaeleza kilichomfurahisha kwa Kibu.
Tazama kocha akimzungumzia hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live