Tue, 6 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ligi Kuu ya Wanawake ya Serengeti Lite 2022/2023 inaanza kutimua vumbi leo kwa mchezo mmoja wa ufunguzi kufanyika Dar es Salaam.
Mabingwa watetezi Simba Queens ni mwenyeji wa JKT Queens kwenye uwanja wa Mo Simba uliopo Bunju.
Michezo mingine 4 ya ufunguzi itafanyika Desemba 7 katika mikoa ya Dar es Salaam, Lindi, Arusha na Mwanza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live