Mon, 3 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa zamani wa Manchester United, Tom Cleverley ametangaza kustaafu soka la kulipwa akiwa na umri wa miaka 33.
Kiungo wa zamani wa Manchester United, Tom Cleverley ametangaza kustaafu soka la kulipwa akiwa na umri wa miaka 33. Cleverley raia wa England alikuwa anachezea klabu ya Watford kabla ya kufikia uamuzi huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live