Sat, 24 Aug 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo Aliou Dieng amejiunga na klabu ya Al Kholood iliyopanda daraja kwenda Ligi Kuu ya Saudia Arabia (Saudi Pro League) akitokea Al Ahly ya Misri. Dieng (26) raia wa Mali anatua klabuni hapo kwa mkopo wa muda mrefu.
Kiungo Aliou Dieng amejiunga na klabu ya Al Kholood iliyopanda daraja kwenda Ligi Kuu ya Saudia Arabia (Saudi Pro League) akitokea Al Ahly ya Misri. Dieng (26) raia wa Mali anatua klabuni hapo kwa mkopo wa muda mrefu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live