Wed, 12 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Ushambuliaji Hamad Majimengi licha ya kusaini Mkataba na klab ya Kmc Ila amefikia maamuzi ya kuachana nao kwa kile kutozingatiwa maslahi yake kwa wakati,
Kiungo wa Ushambuliaji Hamad Majimengi licha ya kusaini Mkataba na klab ya Kmc Ila amefikia maamuzi ya kuachana nao kwa kile kutozingatiwa maslahi yake kwa wakati, Na sasa ameamua kujiunga na klabu ya Namungo FC aliyo saini kandarasi ya Miaka ya Miwili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live