Wed, 10 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Coastal Union imeonyesha nia ya kuipata huduma ya Mkopo ya kiungo mkabaji wa klabu ya Simba Abdallah Hamis Riziki.
Klabu ya Coastal Union imeonyesha nia ya kuipata huduma ya Mkopo ya kiungo mkabaji wa klabu ya Simba Abdallah Hamis Riziki. Abdallah Hamis Riziki amekuwa akikaa benchi tangu atue katika Klabu ya Simba dirisha lililopita.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live