Mchezaji wa ‘klabu’ ya Newcastle, Bruno Guimarães ameonesha uungwana kwa shabiki aliyempatia chocolate kwa kumpa ‘jezi’ aliyokuwa ameivaa baada ya kumalizika kwa ‘mechi’ dhidi ya Aston Villa iliyochezwa siku ya jana Jumanne.
Mchezaji wa ‘klabu’ ya Newcastle, Bruno Guimarães ameonesha uungwana kwa shabiki aliyempatia chocolate kwa kumpa ‘jezi’ aliyokuwa ameivaa baada ya kumalizika kwa ‘mechi’ dhidi ya Aston Villa iliyochezwa siku ya jana Jumanne. #Bruno alitoa ‘jezi’ hiyo wakati alipokuwa akielekea katika chumba cha kubadilishia nguo, baada ya kutamatika kwa ‘mechi’ ambayo #AstonVilla walipokea kipigo cha mabao 3-1.