Thu, 6 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkataba wa kiungo wa Azam FC, Adolf Mtasingwa (24) unaelekea ukingoni katika Klabu ya Azam FC.
Kiungo huyo aliejiunga na Azam FC dirisha dogo amebakiza miezi sita tu katika Mkataba wake wa sasa.
Azam FC wanajipanga kumuongeza Mkataba mpya mchezaji huyo lakini vilabu vikubwa pia vimeonekana kufuatilia suala hilo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live