Mon, 3 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa kati wa Azam FC Adolf Mtasingwa (24) ameongezwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kitakachovaana na Zambia Juni 11 kwenye mechi ya Kufuzu Kombe la dunia 2026.
Soma kwa kirefu Taarifa ya TFF hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live