Mon, 26 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mudathir mwenyewe anasema anapofunga huwa anaipigia simu familia yake. Ni salamu kwa mke wake na mtoto wake mpendwa. Familia kwanza..
Ila kuna another school of thought inasema huwa anawasalimia mabosi wa timu fulani. Kwamba walimpa ahadi ya kumpigia simu kuhusu mkataba lakini wakamchinjia baharini akalazimika kukaa nje miezi sita!
Yanga ndio waliokuja kumrudisha kwenye ramani. Simu yake ni kuwakumbusha kwamba huyu ndie mlikataa kupokea simu zake..
Chanzo: www.tanzaniaweb.live