Thu, 31 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Tabora United imetozwa faini ya Sh. Milioni 1 kwa kosa la kuchelewa kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara dhidi ya Azam FC Agosti 16, mwaka huu Uwanja wa Azam Complex, Chamazi Jijini Dar es Salaam.
Katika mchezo huo Kitayosce iliingia Uwanjani na wachezaji nane pekee ambapo walipoteza kwa mabao 4-0 kabla ya Mwamuzi kumaliza mchezo huo kikanuni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: