Fri, 6 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa kati wa klabu ya Yanga Ibrahimu Bacca leo Ijumaa Oktoba 6 amevuta Jiko , (amefunga ndoa) Jijini Dar es Salaam.
Yanga itakuwa na mchezo wa Ligi CCM Kirumba Mwanza dhidi ya Geita Gold na Beki huyo hatakuwa sehemu ya kikosi.
Kila la kheri Bacca Kwenye maisha mapya ya ndoa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: