Wed, 8 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Klabu ya Al Ittihad ya Saudi Arabia Raia wa Ureno Nuno Santo ametimuliwa kwa vibopa hao wa Saudi Arabia.
Kocha wa Klabu ya Al Ittihad ya Saudi Arabia Raia wa Ureno Nuno Santo ametimuliwa kwa vibopa hao wa Saudi Arabia. Chanzo kinatajwa kuwa ni kitendo cha kupishana kauli na staa wa Timu hiyo Karim Benzema.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live