Wed, 21 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kaimu Kocha Mkuu wa Coastal Union, Joseph Lazaro akizungumza na wanahabari baada ya mchezo wa Ligi kuu NBC dhidi ya Yanga ameulalamikia uongozi wa timu hiyo kuwa ndio chanzo cha kupata matokeo mabaya klabuni hapo.
Kaimu Kocha Mkuu wa Coastal Union, Joseph Lazaro akizungumza na wanahabari baada ya mchezo wa Ligi kuu NBC dhidi ya Yanga ameulalamikia uongozi wa timu hiyo kuwa ndio chanzo cha kupata matokeo mabaya klabuni hapo. Coastal ilikubali kichapo cha magoli 3-0 kutoka kwa Yanga mchezo uliopigwa katika Dimba la Mkapa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live