Mon, 17 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Yanga, Khalid Aucho amewatuliza mashabiki wa Klabu yake baada ya kupoteza mchezo dhidi ya watani wao Simba SC kwa mabao 2-0.
Aucho amesisitiza kwenye ukurasa wake wa instagram kuwa watarudi wakiwa imara zaidi na kuwekeza nguvu zao kwenye mchezo unaofuata dhidi ya Rivers United ya nchini Nigeria kwenye Kombe na shirikisho hatua ya Robo fainali.
Aucho ameandika;
“To all our loved fan we let you down today but we shall come back stronger thanks for you support yanga family we focus on the next game in Nigeria let's be together yanga family”.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live