Mon, 28 Nov 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Vurugu kubwa zimetokea jijini Brussels nchini Ubelgiji, baada ya mashabiki kukasirishwa na na matokeo ya timu yao ya taifa kufungwa 2-0 na Morocco katika mchezo wa kombe la dunia jana.
Vurugu kubwa zimetokea jijini Brussels nchini Ubelgiji, baada ya mashabiki kukasirishwa na na matokeo ya timu yao ya taifa kufungwa 2-0 na Morocco katika mchezo wa kombe la dunia jana. Mashabiki hao wamevamia mitaa na kufanya uharibifu wa mali kwa kuchoma moto magari na kuvunja maduka.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live