Tue, 25 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wachezaji wa Tottenham wamejitolea kuwalipa mashabiki wa timu hiyo tiketi zao za mchezo wa Newcastle baada ya kupokea Kipigo kizito Cha Goli 6-1.
Wachezaji wa Tottenham wamejitolea kuwalipa mashabiki wa timu hiyo tiketi zao za mchezo wa Newcastle baada ya kupokea Kipigo kizito Cha Goli 6-1. Mchezo huo uliondoka na kibarua cha Kocha wa muda wa Tottenham ambae alifungashiwa virago baada ya dhahma hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live