Katika mchezo wa Jana Disemba 6, dhidi ya Aston Villa, Manchester City ilipiga mashuti mawili pekee kwenye lango la Villa,ikiwa ndiyo idadi ndogo zaidi ya mashuti kupigwa na kati ya timu zilizowahi kufunzwa na Pep Guardiola katika historia yake ya ukufunzi.
Aidha, mashuti 22 waliyopiga Villa kwenye lango la City, yalikuwa ndio mashuti mengi ambayo Man City wakiwa chini ya Pep Guardiola wamekutana nayo
Manchester City hawajashinda mechi 4 mfululizo za Primia Ligi.
Man City 4 - 4 Chelsea
Man City 1 - 1 Liverpool
Man City 3 - 3 Tottenham
Man City 0 - 1 Aston Villa
Je unadhani wataweza kutetea Ubingwa wao? Tupe maoni yako