Thu, 14 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kipa Mghana wa Azam FC, Iddrisu Abdulai ameondoka nchini usiku wa kuamkia leo Alhamisi kuelekea Afrika Kusini, kwa ajili ya kufanyiwa matibabu ya bega lake la mkono wa kushoto katika Hospitali ya Vincent Pallotti, iliyopo jijini Cape Town.
Kipa Mghana wa Azam FC, Iddrisu Abdulai ameondoka nchini usiku wa kuamkia leo Alhamisi kuelekea Afrika Kusini, kwa ajili ya kufanyiwa matibabu ya bega lake la mkono wa kushoto katika Hospitali ya Vincent Pallotti, iliyopo jijini Cape Town.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live