Mon, 30 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kinyozi wa Lionel Messi ameweka ujumbe kwenye Instagram yake unaothibitisha kuwa nyota huyo ameshinda tena tuzo ya Ballon d'Or
"Nimemuandaa Messi kwa ajili ya kesho, ni siku muhimu kwani atashinda tuzo yake ya nane ya Ballon d'Or”
“Asante Messi kwa kuendelea kuniamini na kunipa baraka ya kufanya unyoaji mkubwa zaidi kesho dunia nzima itaona mtindo huu wa nywele niliokunyoa”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live