Mon, 23 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Moja kati ya majina yanayokuja vizuri sana pale Ufaransa ni jina la kijana huyu mwenye umri wa miaka 17.
Mpaka muda huu kwenye Ligue 1 amefunga mara 3 na kutoa pasi 2 za mwisho akiwa na Lorient.
Kwa wale waliofuatilia mpira zamani, huyu ni mtoto wa mchezaji wa zamani wa Ivory Coast, Eli Kroupi Zahi ambaye alicheza timu nyingi sana za Ufaransa ikiwemo Lorient anapocheza mtoto wake.
Mpaka muda huu kwenye Under 17 ya France amefunga mara 7 kwenye michezo 7.
Sifa kuu licha ya kuwa centre forward ana uwezo wa kulinda mali.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live