Fri, 21 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya KMC FC imeziambia Timu zinazotaka kumsajili Beki kinda wa Klabu hiyo, Raheem Shomary kutoa kiasi kisichopungua Shilingi Milioni 100 ili kupata saini yake.
Klabu ya KMC FC imeziambia Timu zinazotaka kumsajili Beki kinda wa Klabu hiyo, Raheem Shomary kutoa kiasi kisichopungua Shilingi Milioni 100 ili kupata saini yake. Kinda huyo mwenye umri wa Miaka 20 amekuwa akihitajika na Simba pamoja na Singida Black Stars.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live