Thu, 16 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji chipukizi wa Azam FC, Cyprian Kachwele amesajiliwa na klabu ya Vancouver Whitecaps inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani (MLS).
Mshambuliaji chipukizi wa Azam FC, Cyprian Kachwele amesajiliwa na klabu ya Vancouver Whitecaps inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani (MLS). Kachwele amelelewa kwenye kituo cha Azam FC Academy kabla ya kupandishwa timu kubwa mwishoni mwa msimu uliopita akifunga mabao matatu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live