Thu, 18 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Straika wa Arsenal, Folarin Balogun, ambaye sasa anacheza kwa mkopo Reims, amefunga mabao 19 kwenye Ligue 1 msimu huu.
Straika wa Arsenal, Folarin Balogun, ambaye sasa anacheza kwa mkopo Reims, amefunga mabao 19 kwenye Ligue 1 msimu huu. Mchezaji pekee aliyefanya vyema zaidi ya Balogun katika karne ya 21 katika msimu wake wa kwanza kwenye Ligi ya Ufaransa ni Zlatan Ibrahimovic (aliyefunga mabao 30 msimu wa 2012-13).
Chanzo: www.tanzaniaweb.live