Thu, 11 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Timu ya Taifa ya Congo DR wanachezea kichapo toka kwa Burkina Faso katika mchezo wa kirafiki huko Abudhabi.
Mabao ya Mohamed Konate na Ibrahim Toure yakiwapa uongozi Burkina Faso mapema tuu kipindi cha kwanza.
Ndipo Congo wakaja vizuri kipindi Cha pili baada ya mlinzi wa kati Chancel Mbemba kufunga bao la kufutia machozi. Henock Inonga na Stephen Azizi Ki hawakuanza katika mchezo huuu.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live