Thu, 21 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Presnel Kimpembé amemwaga wino kuendelea kuitumikia klabu ya PSG hadi Juni 2026.
Presnel Kimpembé amemwaga wino kuendelea kuitumikia klabu ya PSG hadi Juni 2026. Kimpembe bado anaendelea kupata nafuu kutokana na jeraha la kifundo cha mguu alilopata na atafanyiwa upasuaji siku zijazo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live