Tue, 20 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Timu ya Taifa ya Ujerumani na Bayern Munich, Joshua Kimmich ana uwezekano wa kuondoka Bayern Munich katika majira ya joto.
Kiungo wa Timu ya Taifa ya Ujerumani na Bayern Munich, Joshua Kimmich ana uwezekano wa kuondoka Bayern Munich katika majira ya joto. Vigogo wa La Liga, Barcelona wanamfuatilia kwa umakini kwa ajili ya kunasa huduma ya nyota huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live