Kuna vita kali inaendelea kati ya Manchester United, Liverpool na Tottenham kwenye mchakato wa kuiwania huduma ya beki kisiki wa Napoli, Kim Min-jae, [26] ambaye kwenye mkataba wake kuna kipengele kinachomruhusu kuondoka kwenye viunga hivyo ikiwa timu inayo-mhitaji itatoa Pauni 44 milioni tu.
Kuna vita kali inaendelea kati ya Manchester United, Liverpool na Tottenham kwenye mchakato wa kuiwania huduma ya beki kisiki wa Napoli, Kim Min-jae, [26] ambaye kwenye mkataba wake kuna kipengele kinachomruhusu kuondoka kwenye viunga hivyo ikiwa timu inayo-mhitaji itatoa Pauni 44 milioni tu. Beki huyu wa Kimataifa wa Korea Kusini, msimu huu amecheza mechi 36 za michuano yote na kuonyesha kiwango bora kinachovutia vigogo Ulaya.