Wed, 22 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati wakiwa wamebaki na michezo miwili kumaliza mwaka huu Kikosi cha Ynaga leo Kinaingia Kambini kwa minajili ya kujiweka sawa kumalizana na michezo hiyo.
Mchezo wake unaofuata ni dhidi ya Biashara United katika Uwanja wa Mkapa Dar, na Afisa Habari wa Klabu hiyo amewahakikishia mashabiki kuwa mbali na wale wenye shida kwa sasa, hakuna mchezaji atakaekosa mchezo wao dhidi ya Biashara.
Msikie Bumbuli akifafanua;
Baada ya kuchukua alama tatu kwa Wajelajela.... hiki ndicho kinachoendelea katika klabu ya Yanga. pic.twitter.com/DjhkKZQyfe
— Azam TV (@azamtvtz) December 21, 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live