Thu, 21 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha awali cha Taifa Stars chenye wachezaji 53 kwa ajili ya AFCON 2023 itakayoanza kurindima kuanzia Januari 13, 2024 nchini Ivory Coast.
Nyota 21 toka nje ya Bara la Afrika
Nyota 6 wanacheza soka la kulipwa lakini ndani ya Mipaka ya bara la Afrika
Nyota 1 hana timu ni mchezaji huru
Jumla tuna nyota wanaocheza soka la kulipwa 28.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live