Sun, 30 Oct 2022
Chanzo: Globalpublishers
Kikosi cha Yanga kimewasili jijini Dar es Salaam kikitokea Mwanza ambapo walicheza mechi ya Ligi Kuu NBC dhidi ya wenyeji wao Geita Gold jana Jumamosi na kuibuka na ushindi wa bao 1-0.
Kikosi cha Yanga kimewasili jijini Dar es Salaam kikitokea Mwanza ambapo walicheza mechi ya Ligi Kuu NBC dhidi ya wenyeji wao Geita Gold jana Jumamosi na kuibuka na ushindi wa bao 1-0. Yanga inajiandaa kuvaana na Klabu Africain ya nchini Tunisia Novemba 2, 2022 katika dimba la Benjamini Mkapa mechi ya kwanza ya kuwania tiketi ya kufuzu hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika.
Chanzo: Globalpublishers