Fri, 19 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba SC, jioni ya leo itashuka katika Uwanja wa CCM kirumba Jijini Mwanza, kuwavaa "Barcelona ya Bongo" timu ya Ruvu Shooting.
Mchezo huo ni mchezo wa raundi ya Sita, Ligi Kuu Tanzania Bara (NBC Primia ligi).
Hiki hapa kikosi cha Simba kinachoanza dhidi ya maafande hao wa Mlandizi Mkoani Pwani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live