Thu, 8 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kikosi cha Mashujaa FC ya Kigoma dhidi ya Yanga SC, mchezo wa Ligi Kuu ya NBC itakayopigwa leo Alhamisi, Februari 08, 2024.
Mchezo huo wa Raundi ya 14 ya Ligi Kuu ya NBC 2023/2024 unatarajiwa kupigwa February 08, 2024 kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar Es Salaam kuanzia Saa 1:00 Usiku.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live