Fri, 10 Jun 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Chama cha Soka nchini England FA, kimetangaza kikosi bora cha EPL msimu wa 2021/2022.
Kikosi hicho kimetawaliwa zaidi na Nyota wanaotoka katika kikosi cha Liverpool ambao wametoa wachezaji 6, wakifuatiwa na Mabingwa Man City waliotoa wachezaji watatu huku Chelsea na Man United wakitoa mchezaji mmoja mmoja.
Katika hali ya kushangaza wengi winga wa Tottenham Son hajajumuishwa katika listi hiyo licha ya kuibuka mfungaji bora kwa kupachika mabao 23 sambamba na Salah.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live