Fri, 22 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Real Madrid wanafuatilia kwa karibu sana kuhusu mustakabali wa mkataba wa beki wa kulia Trent Alexander-Arnold ndani ya Liverpool
Mkataba wake wa sasa unafikia kikomo Juni 2025 na mpaka sasa bado hakuna mazungumzo ya mkataba mpya
Liverpool hawajaonesha kiashiria chochote cha kutaka kumuuza beki huyo wa kimataifa wa England
Na pia bado hakuna mtazamo wowote uliotolewa na beki husika .
Chanzo: www.tanzaniaweb.live