Thu, 14 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mkurugenzi mkuu wa klabu ya Arsenal Edu Gasper amefanya mazungumzo na Mshambuliaji wa klabu ya SSC Napoli Victor Osimhem Ili kuangalia uwezekano wa kumsajili katika dirisha kubwa la usajili msimu ujao.
Mkurugenzi mkuu wa klabu ya Arsenal Edu Gasper amefanya mazungumzo na Mshambuliaji wa klabu ya SSC Napoli Victor Osimhem Ili kuangalia uwezekano wa kumsajili katika dirisha kubwa la usajili msimu ujao. Mshambuliaji huyo raia wa Nigeria anawindwa na vilabu vingi vikubwa barani Ulaya kwa sasa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live