Thu, 21 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Afisa habari wa Yanga Ally Kamwe amesema kiungo wao Pacome bado hajawa timamu lakini Madaktari wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast wamemuomba Mchezaji huyo ili kuona kipi wanaweza kumsaidia taarifa zaidi zitatolewa.
Kiungo Khalid Aucho anaendelea kuimarika, naye ripoti ya daktari itatoa majibu, upande wa Kibwana yeye ataanza mazoezi Jumatatu.
Kuhusu Viingilio vya mchezo huo Ally Kamwe amesema
VIP A Tsh 30,000 VIP B Tsh 20,000 VIP C Tsh 10,000
Lakini mzunguko ni bure.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live