Fri, 4 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki wa klabu ya Yanga SC, Kibwana Shomari ameanza mazoezi mepesi baada ya kuwa nje akiuguza majeraha ya goti.
Utakumbuka mwezi uliopita (January 14) Kibwana alifanyiwa upasuaji wa mdogo nchini Tunisia.
Kibwana alipata maumivu katika moja ya mechi za Ligi Kuu Tanzania Bara, na madaktari wa timu walishauri afanyiwe upasuaji.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live