Thu, 15 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki wa Klabu ya Yanga, Kibwana Shomari alionekana akiingia uwanjani na kutoa taulo golini kwa Mashujaa kwenye mechi ambayo Yanga ilishinda mabao 2-1.
Beki wa Klabu ya Yanga, Kibwana Shomari alionekana akiingia uwanjani na kutoa taulo golini kwa Mashujaa kwenye mechi ambayo Yanga ilishinda mabao 2-1. Kwa kosa hilo Kibwana atalipa faini shilingi Milioni moja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: