Mon, 7 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kuwakosa nyota wake kadhaa kutokana na sababu mbali mbali katika michezo iliyopita.
Kikosi cha Simba usiku wa leo kitashuhudia urejeo wa nyota wake Taddeo Lwanga, Kibu Denis, Jonas Mkude na Larry Bwalya ikijiandaa kuwavaa Dodoma Jiji katika Uwanja wa Mkapa.
Wachezaji hao wote wameorodheswa katika kikosi kinachoanza leo lakini wataanzia benchi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live