Wed, 3 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa Mamelodi Sundowns, Rhulani Mokwena amethibitisha kuwa Beki wa kulia wa Mamelodi, Khuliso Mudau atajiunga na Burnley FC ya Uingereza mwishoni mwa msimu huu, na tayari Mamelodi wamemsajili Zuko Mdunyelwa kuziba pengo lake.
Kocha wa Mamelodi Sundowns, Rhulani Mokwena amethibitisha kuwa Beki wa kulia wa Mamelodi, Khuliso Mudau atajiunga na Burnley FC ya Uingereza mwishoni mwa msimu huu, na tayari Mamelodi wamemsajili Zuko Mdunyelwa kuziba pengo lake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live