Fri, 28 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshamhuliaji wa Manchester City, Kevin De Bruyne angeweza kuiwakilisha Taifa la Burundi katika ngazi ya kimataifa kabla ya kulitumikia taifa lake la Belgium.
Kumbuka mama yake na Kevin de Bruryne, Anna De Bruyne amezaliwa nchini Burudani KDB yeye amezaliwa Ubelgiji mama yake amezaliwa Burundi na baba. Yake amezaliwa Ubelgiji.
Alikua na machaguo mawili Burundi au Belgium.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live