Wed, 11 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Serikali ya nchini Kenya ipo kwenye mpango wa ujenzi wa Uwanja mpya utakaoitwa TALANTA SPORT CITY utakaokuwa na uwezo wa kuchukuwa watazamaji 60,000,
Serikali ya nchini Kenya ipo kwenye mpango wa ujenzi wa Uwanja mpya utakaoitwa TALANTA SPORT CITY utakaokuwa na uwezo wa kuchukuwa watazamaji 60,000, Malengo yao makubwa ni kuhakikisha kuwa wanapata nafasi ya kuweza kuandaa mchezo wa fainali katika AFCON ya 2027 baada ya kuona nafasi ni kubwa kwa Tanzania kutokana na uwepo wa Uwanja wa Benjamin Mkapa unaobeba watazamaji 60,000.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live