Sun, 5 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Kimataifa wa Zambia na Klabu ya Yanga, Kennedy Musonda ameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Zambia inayonolewa na Kocha Avram Grant.
Mshambuliaji wa Kimataifa wa Zambia na Klabu ya Yanga, Kennedy Musonda ameitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Zambia inayonolewa na Kocha Avram Grant. Zambia wanajiandaa na mchezo wa kufuza AFCON dhidi ya Lesotho.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live