Mon, 22 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mamelodi Sundowns wamekamilisha usajili wa mlinzi wa kati Keagan Johannes kutoka SuperSport United.
Mamelodi Sundowns wamekamilisha usajili wa mlinzi wa kati Keagan Johannes kutoka SuperSport United. Nyota huyu mwenye umri wa Miaka 23 amepiga chini OFA za Kaizer Chiefs na Orlando Pirates akaamua kufuata pesa na Makombe kitongoji Cha Mamelodi, Pretoria.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live