Thu, 28 Apr 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchana wa Leo April 28, kulizuka taarifa ya Kifo cha Wakala Maarufu wa Wachezaji Barani Ulaya Raia wa Italia Mino Raiola.
Sasa Taarifa za Uhakika ni kuwa Wakala huyo hajafa na kuthibitishwa na Daktari kutoka katika Hospitali aliyolazwa Wakala huyo, akidai Raiola kwa sasa anapigania Uhai.
Kubwa zaidi Raiola kupitia Akaunti yake ameandika ujumbe unaoonesha kusikitishwa na uzushi huo.
Soma tweet ya Raiola Hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live