Wed, 24 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Unaambiwa nyota wa Al-Ittihad, Karim Benzema ameuomba uongozi wa klabu hiyo kumruhusu kuondoka kwa muda.
Bado haijulikani sababu za Benzema kuomba kuondoka kwa muda, lakini hivi karibuni baadhi ya taarifa zimekuwa zikieleza kuwa Benzema amekuwa hana maisha ya furaha klabuni hapo.
Mpaka hivi sasa dirisha la usajili bado lipo wazi, Je unadhani Benzema ana mpango ya kutaka kujiunga na klabu nyingine?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live