Wed, 6 Jul 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Shirikisho la Mpira wa miguu nchini Tanzania TFF, Wallace Karia ametuma Salamu za rambi rambi kwa familia ya John Makelele kuatia kifo cha John Makelele ambae alipata kuichezea Timu ya Taifa ya Tanzania "Taifa Stars".
Enzi za Uhai wake pia marehemu Makelele alipata kuchezea klabu ya Simba SC, na anakumbukwa zaid kwa goli lake alilowafunga Yanga katika ushindi wa magoli 2-1 goli abalo liliinusuru kablau ya Simba kushuka daraja. Julai 28. 1988.
John Makelele alifariki dunia Julai 2 mwaka huu Jijini Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live