Thu, 21 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania, Wallace Karia anasema hawatosita kuwachukulia watu hatua ambao watawasapoti wapinzani.
"Mama anasapoti na ameongeza dau sisi pia tuna sheria zetu kwa ambao watatoa Maneno, matamka na maandiko ambayo yataleta taharuki hatutasita kuwachukulia hatua.
"Mimi na Waziri tutavaa jezi siku hiyo kama ni Yanga tutavaa jezi ya Yanga na kama ni Simba tutavaa jezi ya Simba, amesema Wallace Karia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live