Sun, 31 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Medeama Sporting Club officially Wamemtangaza Nebojsa Kapor (37) kuwa kocha wao mkuu.
Raia huyo wa Bosnia amesaini kandarasi ya miaka miwili lkn kuna kipengele cha kuongeza mwaka mmoja baadaye.
Kocha huyo alizifundisha timu za TEMA Youth na Bechem United za Ghana.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live